SAMSUNG TANZANIA WAZINDUA KITUO KIPYA CHA MATENGENEZO KILICHOPO ENEO LA KARIAKOO KARIBU NA KITUO CHA MBAGALA, JIJINI DAR ES SALAAM HAPO JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SAMSUNG TANZANIA WAZINDUA KITUO KIPYA CHA MATENGENEZO KILICHOPO ENEO LA KARIAKOO KARIBU NA KITUO CHA MBAGALA, JIJINI DAR ES SALAAM HAPO JANA

 Mkurugenzi Mkuu wa Samsung Tanzania, Ndg Dongha Jang , akiongea na waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kituo kipya cha Matengenezo ya Vifaa vya Samsung kilichopo Eneo la Kariakoo karibu na Kituo Cha Daladala cha Mbagala
 Mkurugenzi Mkuu wa Samsung Tanzania, Mr. Dongha Jang akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha Matengenezo cha Samsung kilichopo kariakoo karibu na kituo cha Daladala cha Mbagala wakati wa uzinduzi uliofanyika jana jijini Dar Es Salaam
Baadhi ya Mafundi wa Kampuni ya Samsung Tanzania katika kituo cha Matengenezo cha Samsung kilichopo Kariakoo wakiwa kazini wakati wa uzinduzi wa kituo hiko kipya cha Matengenezo cha Samsung kilichopo Kariakoo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages