
Basi la UDA likiwa limebebwa kwa juu katika eneo la tukio



Ajari mbaya iliyo husisha magari takribani 5 imetokea maeneo ya ubungo mkabala na stendi ya mabasi ya mikoani ikihusisha magari ya abiria uda na gari zingine ndogo mpaka sasa haijajulikana idadi sahihi ya watu walio poteza maisha





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)