
Hadi leo jamaa anawaza atarudi vipi nyumbani kwake. Maana alimuaga mkewe kuwa anaenda China kwa ndege ya Malaysia, Bahati mbaya ndege ikapotea, tena alisindikizwa hadi Uwanja wa Ndege Kumbe bwana Jamaa kazama mtaa wa tatu kwa nyumba ndogo. Sasa ndege imepotea na abiria wote. Akirudi kwake atajieleza vipi?





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)