
Pichani ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ndani ya Sare zake za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kipindi hiko. Picha hii inatajwa kupigwa Mwanzoni mwa Miaka ya 80 wakati huo Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Jeshini. Picha ni kwa hisani kubwa ya Mdau wa Ukurasa aliyeko Mkuranga.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)