Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza mhifadhi wa Sokwe wa kimataifa Dkt.Jane Goodall wakati mhifadhi huyo alipomtembelea Rais Ikulu na kumwelezea kazi zake mbalimbali za uhifadhi nchini.Dkt.Goodall
anajihusisha na uhifadhi wa Sokwe katika hifadhi ya Gombe mkoani Kigoma
na kazi yake imeipatia Tanzania umaarufu mkubwa Duniani.Dkt. Goodall ni
mwanzilishi wa taasisi ya Jane Goodall Institute inayojihusisha na
uhifadhi wa Sokwe. Picha na Freddy Maro
anajihusisha na uhifadhi wa Sokwe katika hifadhi ya Gombe mkoani Kigoma
na kazi yake imeipatia Tanzania umaarufu mkubwa Duniani.Dkt. Goodall ni
mwanzilishi wa taasisi ya Jane Goodall Institute inayojihusisha na
uhifadhi wa Sokwe. Picha na Freddy Maro

.jpg)




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)