Msanii Ray C azungumzia dawa za kulevya - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Msanii Ray C azungumzia dawa za kulevya


Msanii wa TZ Ray C
Katika Misemo ya kale upo msemo usemao aisifuye mvua,imemnyea.
Usemi huu unaweza kufananishwa na kauli ya Msanii maarufu wa Muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rehema Chalamila almaaruf Ray C,ambaye hivi karibuni alitoa wito kwa serikali kuwanyonga wale wote wanajihusisha na biashara ya dawa za kulevya.

Mwanamuziki huyo hivi sasa yuko kwenye kliniki maalum akipata tiba kutokana na kuathiriwa na matumizi makubwa ya dawa za Kulevya, baada ya kupata msaada kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania.
Erick David Nampesya alikutana naye hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Chanzo BBC swahili

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages