Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0

Mshambuliaji wa Azam, Kipre Tchetche (katikati) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Spice Stars, Suleiman Ally (kushoto) na Sued Mussa (kulia) wakati wa mchezo wa kuwania Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Picha na Michael Matemanga. 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages