Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw. Sylvester Manyara (katikati)
akichezesha droo ya nne ya Pambika na Samsung huku akishuhudiwa na Msimamizi
toka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Emmanuel Ndaki (Kushoto) huku kulia ni
Mratibu wa Pambika na Samsung Bw. Lawrence Andrew.
Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzaia Bw Sylvester Manra akiongea na mmoja ya
washindi wa droo ya nne ya promosheni ya Pambika na Samsung mara baada ya
kuchezesha droo hiyo ya nne. Jumla ya washindi 15 wamezawadiwa bidhaa
mbalimbali toka Samsung katika droo ya nne mara baada ya kununua bidhaa halisi
za Samsung na kuisajili.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)