Mwezeshaji kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa, Bi. Naima Mrisho akifafanua utekelezaji wa Mpango Wa Kujiandaa Kukabili Maafa katika mkoa wa Shinyanga, leo.
Baadhi ya Wawezeshaji wa mafunzo ya Mpango wa kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga kutoka ofisi ya Waziri Mkuu- Idara ya Uratibu wa Maafa, wakifuatilia mafunzo hayo yanayoendelea mkoani Shinyanga leo, (wa kwanza) ni Mhandisi, Fanuel Karugendo na (wa pili) Mchumi, Magreth Sembuyagi.
Baadhi ya Washiriki kutoka vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Shinyanga wakifuatilia mafunzo ya Mpango wa kujiandaa kukabili Maafa Mkoani Shinyanga leo, (wa kwanza) ni Kaimu Kamanda kikosi 516 KJ, Gabriel Nzunda na (wa pili) ni Mkuu wa Polisi wa Wilaya Shinyanga, Richard Ngede.(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

.jpg)
.jpg)
.jpg)




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)