Ndugu Mjenga akutana na Watanzania wanaofanya kazi katika Shirika la Ndege la Emirates, apokea tuzo ya Tanzania - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Ndugu Mjenga akutana na Watanzania wanaofanya kazi katika Shirika la Ndege la Emirates, apokea tuzo ya Tanzania

Kaimu Konseli Mkuu katika ubalozi mdogo wa Tanzania Dubai Ndugu Omar Mjenga amewakaribisha kupata mawazo yao jinsi ya kuongeza idadi ya watanzania katika shirika hilo la Ndege la Emirates. Wadau hao wameweka mikakati ambayo itawawezesha kufikia Machi 2014 kupata Watanzania zaidi kujiunga na Shirika hilo.

Kaimu Konseli Mkuu Ndugu Omar Mjenga akipokea Tuzo kutoka kwa Mtawala wa Ajman kwa niaba ya Tanzania wakatinwa Chakula cha Jioni na Maonyesho ya Uwekezeji na Biashara katika Emirate ya Ajman.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages