Ivo aliiongoza Kilimanjaro Stars kufika Nusu Fainali ya Challenge baada ya kuwatoa waliokuwa mabingwa watetezi Uganda ‘The Cranes’ kwa penalti 3-2 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 90, kipa huyo akicheza mikwaju miwili.
Ivo alisema kwamba ameamua kusaini timu hiyo yenye makao makuu mtaa wa Msimbazi baada ya kuridhishwa na maslahi aliyopewa.Ivo alisema kwamba Simba SC ni timu kubwa na anaamini atafanya vizuri. Ivo pia amewahi kuidakia Yanga SC.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)