ARSENAL YASHIKWA EPL, YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EVERTON - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

ARSENAL YASHIKWA EPL, YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EVERTON

Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la kuongoza katika dakika ya 80 ya mchezo.
Ozil akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao.
Gerard Deulofeu wa Everton (kushoto) akishangilia bao la kusawazisha dakika ya 81 ya mchezo.
Beki wa Arsenal Laurent Koscielny (kushoto) akijaribu kumzuia Steven Pienaar wa Everton wakati wa mchezo huo.
Timu ya Arsenal imeshikwa baada ya kutoka sare ya 1-1 na Everton katika mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa Uwanja wa Emirates jijini London, Uingereza hivi punde.
Bao la kuongoza la Arsenal limewekwa kimiani na Mesut Ozil dakika ya 80 kabla ya Gerard Deulofeu kusawazisha bao hilo dakika ya 84 na kufanya matokeo kuwa 1-1.
Mpaka mwisho wa mchezo Arsenal 1 na Everton 1. Kwa matokeo hayo bado Arsenal wanaongoza ligi hiyo wakiwa na pointi 35 wakati Everton wapo nafasi ya tano wakiwa na pointi 28.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages