WATANZANIA WAOMBWA KUMPIGIA KURA HISIA(TUSKER 12)TUSKER PROJECT FAME - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WATANZANIA WAOMBWA KUMPIGIA KURA HISIA(TUSKER 12)TUSKER PROJECT FAME


Mshiriki pekee aliyebaki katika mashindano ya kusaka vipaji Afrika Mashariki kutoka Tanzania Elisha Maghiya(Hisia) akiwa katika jukwaa la Tusker Project Fame msimu wa sita nchini Kenya.
 Mshiriki wa Tusker Project Fame msimu wa sita kutoka Tanzania Hisia(katikati) akiwa na washiriki wenzake katika gari la kifahari wakifurahia jambo kulia kwake ni Amosi kutoka Kenyana Kojjo kutoka Uganda na kushoto kwake ni Nyambura kutoka Kenya na Daisy kutoka Uganda.
  Hisia kutoka Tanzania(kulia) na Kojjo kutoka Uganda wakiwa katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages