BODABODA YAGONGWA TABATA SEGEREA MUDA MFUPI ULIOPITA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

BODABODA YAGONGWA TABATA SEGEREA MUDA MFUPI ULIOPITA

Daladala yenye  namba ya usajili T 798 ALV ikiwa imegonga pikipiki yenye namba ya usajili T 174 CAP na kusababisha mwanamke aliyekuwa amepanda bodaboda hiyo kuumia vibaya katika barabara ya kuingia kwenye Stendi ya Tabata Segerea.
Madereva wa bodaboda kwenye eneo la stendi ya Segerea wakiwa wamemzunguka Dereva wa daladala baada ya kumgonga mwenzao. 
Huu ndio mwonekano wa daladala iliyogonga  bodaboda
 
Baadhi ya wananchi wakiangalia ajali hiyo
Umati wa watu wakiangalia tukio hilo.Picha Kwa Hisani ya Pamoja Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages