ZIARA YA MAMA SALMA KIKWETE NA RAIS JAKAYA KIWETE -RUFUJI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

ZIARA YA MAMA SALMA KIKWETE NA RAIS JAKAYA KIWETE -RUFUJI

Copy of wama 1 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete(kulia) akimpokea Balozi wa Japan nchini Masaki  Okada(katikati). Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) Ramadhani   Dau  wakati  alipotembelea shule hiyo  leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani.wama2
Rais Jakaya Kikwete kulia akimpokea Balozi wa Japan nchini Masaki   Okada (kushoto). Katikati  ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) wakati walitembelea shule hiyo  leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani.
wama3 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete(kulia) akizungumza jambo na  Balozi wa Japan nchini Masaki Okada(kushoto ). Katikati  ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) Ramadhani   Dau  wakati walitembelea shule hiyo  leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani.wama4 
Rais Jakaya Kikwete  akisalimiana na Mwalimu wa masomo ya Kiingereza na Uraia wa  Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama)   Sophia   Shafii  wakati  alipotembelea shule hiyo  leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani. wama5Mke wa Rais Mama Salma Kikwete( wa tatu kushoto)  na Balozi wa Japan nchini Masaki  Okada( wa pili kulia) wakitia saini   mkataba   wa msaada wa kutayarisha vifaa vya maabara, ujenzi wa zahanati na kutoa mtambo wa maji wa kutumia jenereta  wenye thamani milioni 170 kwenye  Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) . Kulia  wa kwanza ni  Rais Jakaya Kikwete na kushoto wa pili  ni Mwenyekiti  wa bodi ya shule hiyo ,Ramadhani   Dau . Kushoto wa  kwanza  ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Suma  Mensah. Hafla fupi hiyo iliyafanyika leo  katika  shule hiyo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani.
Wama7 Rais  Jakaya Kiwete (katikati) alipokuwa akitembelea Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani wakati wa ziara yake .Kushoto ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Suma  Mensah na kulia ni Mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Ramadhani Dau.wama8 Rais  Jakaya Kiwete akisoma moja ya kitabu cha somo la Fizikia katika mkataba ya   Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani wakati alipotembelea shule hiyo katika ziara yake.Kulia ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Suma  Mensah.wama11Mke wa Rais Mama Salma Kikwete(aliyevaa kitenge) akizungumza jambo na  Balozi wa Japan nchini Masaki Okada( wa pili kushoto) wakati   alipokuwa akitembelea  Shule ya Sekondari ya Wasichana ya watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi(WAMA – Nakayama) Ramadhani   Dau  wakati walitembelea shule hiyo  leo iliyopo wilayani Rufiji  mkoa wa Pwani.
Picha zote na Magreth Kinabo – Maelezo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages