NMB YATOA MSAADA WA VITANDA NA MADAWATI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 12.6 JIMBO LA KALENGA MKOA WA IRINGA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NMB YATOA MSAADA WA VITANDA NA MADAWATI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 12.6 JIMBO LA KALENGA MKOA WA IRINGA

Meneja wa NMB kanda ya Nyanda za juu , Lucresia Makiriye akimkabidhi Mganga Mkuu wa Halmashauri Wilaya ya Iringa, Raymond Kiwone , sehemu ya msaada wa vitanda vya wodi ya wazazi uliotolewa na benki ya NMB.
Maafisa wa benki ya NMB wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Halmashauri Wilaya ya Iringa baada ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya Halmashauri ya Iringa
Meneja wa NMB kanda ya Nyanda za juu Lucrecia Makiriye akimkabidhi Afisa Elimu wa Halmashauri Wilaya ya Iringa, Yusuph Mpwatile sehemu ya msaada wa madawati ya shule za msingi jimbo la kalenga .Msaada huo umetolewa na Benki ya NMB ili kusaidia katika juhudi za kupunguza uhaba wa madawati shuleni katika Mkoa wa Iringa.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages