KIBAKA AONJA JOTO YA JIWE BAADA YA KUIBA TAIRI YA BAJAJ - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KIBAKA AONJA JOTO YA JIWE BAADA YA KUIBA TAIRI YA BAJAJ

Kibaka akiwa ndani ya Bajaj akifanya mawasiliano na simu baada ya kupokea kipigo.
Mwenye Bajaj akimvuta kwa hasiri ili amtoe nje.
Madereva wa Bajaj wakimtazama kibaka huyo.
Bajaj iliyoibiwa tairi.
Kibaka  akipelekwa kituo cha polisi.

KIBAKA mmoja aliyejulikana kwa jina la Chura jana alioja joto ya jiwe kwa kushushiwa kipigo na madereva wa Bajaj baada ya kuiba tairi ya Bajaj maeneo ya Bamaga jijini Dar es Salaam.

Baada ya kupewa  kipigo  kikali alikimbilia kwenye Bajaj na kukaa ndani yake ambapo alivutwa lakini haikuwezekana kutolewa kutokana na jinsi alivyokuwa amejishikilia kwa nguvu  ndipo watu walipoamua kumpeleka katika kituo cha polisi Mabatini. Tairi hilo lililoibiwa halikupatikana.Habari/picha:Na Gladness Mallya

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages