Tino akiwafanyiwa mahojiano na Ceaser Daniel wakati wa Uzinduzi wa Filamu Mpya ya Elizabeth Michael aka Lulu iitwayo Foolish Age
Wadau wakijiachia
Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie wakifuatilia Uzinduzi huo Kwa Makini
JB akito tabasamu zito wakati akiwasili kwenye uzinduzi wa Filamu mpya ya Lulu iitwayo Foolish Age uliofanywa na Kampuni ya Proin Promotions limited ndani ya Ukumbi wa Mlimani City siku ya Ijumaa
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar waliowahi kuingia Kwenye Ukumbi kabla ya Uzinduzi kuanza
Wadau wakiserebuka wakati Lady Jay Dee aka Anaconda, Aka Komandoo akitoa burudani ya kibao chake kipya Cha Yahaya..





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)