TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 FUNIKA BOVU NDANI YA DODOMA USIKU WA KUAMKIA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 FUNIKA BOVU NDANI YA DODOMA USIKU WA KUAMKIA LEO

Mkongwe wa muziki wa kizaz kipya a.k.a Bongofleva Afande Sele a.k.a Baba Tunda  a.k.a Simba Mzee akidhihirisha ukongwe juu ya steji ya tamasha la
Serengeti linalofanyika usiku huu ndani ya uwanja wa Jamuhuri mkoani
Dodoma,ambapo maelfu ya watu washabiki wamejitokeza kushuhudia tamasha  hilo ambalo hufanyika mara moja kwa mwaka.
 Msanii mahiri ambaye kwa sasa anasumbua vilivyo anga ya muziki wa
Bongofleva,Diamond akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu kwenye tamasha  la serengeti fiesta 2013,linalofanyika usiku huu kwenye uwanja wa
Jamuhuri.
Haaaa haaaa...ukitaka kubana pua kabane nyumbani kwenu,hapa ni hip hop
tuuu.....Msanii wa Bongofleva Ney wa Mitego wakioneshana umahiri umwamba wa jukwaani na msanii mwenzake  Dimond  kupitia wimbo wa Muziki Gani.
Maelfu ya Watu wakiwa kwenye uwanja wa jamuhuri,usiku huu wakishangweka na tamasha la Serengeti Fiesta 2013.
 Mwanadada ambaye wengi wanadai amerithi viuno na sauti kutoka mwanamuziki Ray C,anaitwa Rachael kutoka nyumba ya vipaji a.k.a THT akiimba jukwaani huku akionesha umahiri wake wa kukata mauno.
PICHA ZAIDI  INGIA MICHUZIJR.BLOGSPOT.COM

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages