Tamasha la Jinsia Tanzania Lafana Jijini Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tamasha la Jinsia Tanzania Lafana Jijini Dar es Salaam

Washiriki wa mkutano wa tamasha la jinsia tanzania 2013 wakiandamana kuingia katika viwanja vya TGNP kabla ya kuanza kwa maadhimisho. Maadhimisho hayo yanaenda sambamba na kusherehekea miaka 20 ya harakati za ukombozi wa mwanamke kimapinduzi za mtandao huo.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Bi. Ussu Mallya akizungumza kuwakaribisha wageni mbalimbali katika tamasha hilo na kutoa machache juu ya miaka 20 ya harakati za ukombozi wa mwanamke kimapinduzi za TGNP.
[/caption] 
Mkurugenzi wa Mfuko wa Wanawake Tanzania, Bi. Mary Rusimbi akizungumza kwenye mkutano wa Tamasha la Jinsia Tanzania 2013.[/caption][caption id="attachment_37267" align="aligncenter" width="500"] Mwanachama wa TGNP, Bi. Marjorie Mbilinyi akitoa mada kwenye Tamasha hilo[/caption] 
Baadhi ya wageni kutoka mashirika na taasisi mbalimbali za kimataifa wakifuatilia matukio anuai katika Tamasha la Jinsia Tanzania 2013.[/caption] Baadhi ya wageni waalikwa na washiriki wa tamasha hilo wakifuatilia mada na matukio anuai. Watu wenye ulemavu wa kusikia wakielezewa kwa kutumia ishara masuala anuai yanayiowasilisha katika tamasha. 
Wakati mwingine burudani zilipozidi washiriki walishindwa kuvumilia na kujikuta wakiingia kati na kusakata rumba. Vikundi mbalimbali vya muziki na sanaa vilikuwa vikiburudisha 
MC wa sherehe ya Maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania 2013 akitoa maelekezo kwa wanatamasha.
 
Utambulisho kwa washiriki kutoka mikoa anuai 
Utambulisho kwa washiriki kutoka mikoa anuai Washiriki kutoka mikoa anuai wakijisajili kabla ya kuanza ushiriki wa Maadhimisho ya Tamasha la Jinsia Tanzania Jijini Dar es Salaam [/caption] 
Kundi la wasanii wa Parapanda wakifanya manjonjo yao katika tamasha hilo. 
Kundi la wasanii wa Parapanda wakifanya igizo kuonesha jamii ya wanawake inavyonyanyasika katika maeneo ya ajira 
Mmoja wa wasanii akighani ngonjera katika maadhimidho hayo: Imeandaliwa na www.thehabari.com

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages