KUTOKA UWANJA WA TAIFA MECHI KATI YA MBEYA CITY FC NA SIMBA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KUTOKA UWANJA WA TAIFA MECHI KATI YA MBEYA CITY FC NA SIMBA



 Baadhi ya Mashabiki wa Mbeya City FC wakiwa wana moto wa kuja kutazama Mechi ya Mbeya City na Simba, Ambapo mashabiki hao wamefunga safari kutoka Mbeya kuja kushuhudia Mechi.

 Mashabiki wa Mbeya City Fc wakiwa wanavuka Barabara Kuelekea uwanjani
Ulinzi ukiwa umeimarishwa nje ya Uwanja wa Taifa
 Baadhi ya Mashabiki wakiwa wanajiandaa kuingia uwanjani kushuhudia Mechi kati ya Simba na Mbeya City 
 Mashabiki wakiwa wanaingia katika uwanja wa Taifa kushuhudia Mechi kati ya Simba na Mbeya City
 Hizi ni baadhi ya Tshirt ambazo zinauzwa za Timu ya Simba 
 Mmoja ya Mashabiki wakiwa ameshikilia Tiketi yake tayari kuingia uwanjani
 Baadhi ya Mashabiki wa Mbeya City Fc wakiwa tayari kwa ajili ya Mechi hiyo
 Mashabiki wa Simba wakiwa Tayari kwa ajili ya Mechi hiyo
Hapa Ubao wa Kidijitali kwa ajili ya kuoneshea magoli bado haujawashwa ......

Endelea kufuatilia Hapa hapa Bila kutoka........ Tukio zima ni Live

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages