WAZIRI MKUU WA THAILAND ATEMBELEA HIFADHI YA SERENGETI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAZIRI MKUU WA THAILAND ATEMBELEA HIFADHI YA SERENGETI


 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akiteremka kwenye ndege katika Uwanja wa Ndege wa Seronera, Serengeti, leo na kulakiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki.
 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti William Mwakilema mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
 Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisindikizwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kushoto) na Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu (kulia) mara baada ya kuwasili Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages