Tigo yakabidhi Bajaji kwa washindi 7 wa droo ya tatu ya 'Miliki Biashara Yako' - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

Tigo yakabidhi Bajaji kwa washindi 7 wa droo ya tatu ya 'Miliki Biashara Yako'

blogger-image--633389163
Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi ufunguo wa Bajaji mshindi wa droo ya tatu wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ Bw. Khalid Shabani katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
blogger-image-1268303685
Washindi wa  droo ya tatu ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ wakipozi mbele ya Bajaji zao walizokabidhiwa na kampuni ya simu ya Tigo katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam
blogger-image-2009506697
 Mshindi wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ Bw. Sande Juma (kushoto) akipokea ufunguo wake wa Bajaji kwa furaha kutoka kwa Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
blogger-image-972081922
Washindi  wa droo ya tatu wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ (kutoka kushoto) Bw. Sande Juma, Tito Mkude  na Iddi Zonki wakikagua Bajaji walizokabidhiwa kutoka kwa kampuni hiyo ya simu katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
blogger-image-2121666704
 Washindi wa promosheni ya Tigo 'Miliki Biashara Yako' wakijaribu kwa furaha moja ya Bajaji zilizokabidhiwa na kampuni ya simu ya Tigo katika hafla iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.
blogger-image--413870098
Meneja Chapa wa Tigo, Bw. William Mpinga akihojiwa na Waandishi wa Habari katika hafla ya makabidhiano ya washindi wa promosheni 'Miliki Biashara Yako' iliyofanyika Soko la Nyuki, Tegeta jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages