teknolojia ya mstari wa goli yazinduliwa leo kwa ligi kuu ya Uingereza - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

teknolojia ya mstari wa goli yazinduliwa leo kwa ligi kuu ya Uingereza


Teknoljia ya mstari wa goli  ajili ya Ligi Kuu ya Uingereza imezinduliwa
leo na kusifiwa kama moja ya maendeleo muhimu toka sharia za soka ziwekwe na kuanza kutumika miaka 150 iliyopita.

Teknolojia hiyo ijulikanayo kama ‘The Hawk-eye’ (jicho la mwewe) inatumia kamera 14 ambazo zitatuma ujumbe ndani ya sekunde moja katika saa ya mwamuzi pamoja na kifaa cha sikioni cha mawasiliano mara tu mpira utapovuka mstari wa goli.

Watumiaji wa kwanza wa kifaa hicho watakuwa timu za Manchester United na Wigan Jumapili ijayo katika mchezo wao wa ngao ya hisani kuashiria kuanza rasmi kwa ligi hiyo katika uwanja wa Wembley.

Cheki Video hii ya jinsi kifaa hicho kitavyofanya kazi

Chanzo Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages