Waumini wa dini ya kiislamu Manispaa ya Morogoro
wakiwa katika ibada ya swala ya adhuri
eneo la kituo kikuu cha polisi mkoa wa Morogoro jana wakati viongozi wa dini
hiyo wakiwa na viongozi wa jeshi la polisi katika tume huru ya jinai
iliyounda na makao makuu ya jeshi hilo kuchunguza tukio la kujeruhiwa
kwa Sheike Ponda Issa agosti 10 mwaka huu katika uwanja wa shule ya
msingi Kiwanja cha Ndege mara baada ya kumalizika kwa kongamano la
kidini la idd pili mjini hapa,
kwa kitu
kinachodhaniwa kuwa ni risasi.Picha Zote na Juma Mtanda
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)