MKURUGENZI WA MAELEZO-MWAMBENE NA MKURUGENZI WA UTAMADUNI-MWASOKO WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI NANE NANE NZUGUNI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

MKURUGENZI WA MAELEZO-MWAMBENE NA MKURUGENZI WA UTAMADUNI-MWASOKO WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI NANE NANE NZUGUNI DODOMA

FKB_5391
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Assah Mwambene (kulia) akizungumza jambo wakati yeye na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni kutoka wizara ya  Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwasoko walipotembelea banda la Magazeti ya Serikali  Tanzania Standard Newspapers (TSN) Wachapishaji wa magazeti ya Daily News, HABARILEO, Sunday News, HABARILEO  Jumapili  na Spotileo, jana Nzuguni Dodoma. Kushoto ni Afisa Masoko na Mauzo wa TSN, Chikira Mgheni na Afisa Masoko, Francis Kihinga.

Viongozi hao kutoka Wizarani walitembelea Taisisi zote zilizo chini Ya Wizara hiyo ikiwa ni Idara ya MAELEZO, TSN, TBC, BASATA, BODI YA FILAMU, TASUBA, IDARA YA MICHEZO NA ILE YA VIJANA.
FKB_5386
 Kihinga akizungumza jambo na Wakurugenzi hao.
FKB_5382
 Chikira akimkabidhi zawadi Mwasoko.
FKB_5383
 Mwambene akipokea zawadi kutoka kwa Chikira wa TSN
FKB_5393
FKB_5396
FKB_5397
 Wakurugenzi hao walifika banda la MAELEZO na kumkuta Lidya Chuzri na kuwapa maelezo ya banda.
FKB_5360
FKB_5361
 Wakiwa Bodi ya Filamu na Kulia ni Afisa Ukaguzi wa Filamu, Tabu Magembe

FKB_5364
 Wananchi wakiwa banda la TASUBA
FKB_5365
FKB_5368
FKB_5370
 Wakurugenzi wakiwa Banda la TASUBA
FKB_5373
 Wakiwa Idara ya Michezo
FKB_5380
 Wakurugenzi wakiwa Banda la Idara ya Vijana
FKB_5381

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages