MAN U, CHELSEA HAKUNA MBABE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAN U, CHELSEA HAKUNA MBABE

Beiki wa Chelsea, Ashley Cole (kushoto) akikwaana na Wyne Rooney wa Manchester United.
Mshambuliaji wa Manchester United, Wyne Rooney (kushoto)  akijaribu kupiga shuti langoni mwa Chelsea.
Mourihno na Moyes wakisalimiana kabla ya mechi hiyo.
Hapiti mtu hapa: Beki Ashley Cole akimdhibiti, Robin Van Persie 'RVP'.
Manchester United na Chelsea leo zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mechi hiyo imepigwa katika uwanja  wa Old Trafford.

Vikosi katika mechi hiyo vilikuwa hivi:
Man United: De Gea, Jones, Ferdinand, Vidic, Evra, Valencia (Young 67), Cleverley, Carrick, Welbeck (Giggs 78), Rooney, Van Persie.

Waliokuwa benchi: Anderson, Smalling, Lindegaard, Kagawa, Buttner.


Chelsea:
Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Lampard, De Bruyne (Torres 60), Oscar, Hazard (Azpilicueta 93), Schurrle.

Waliokuwa benchi: Essien, Mikel, Lukaku, Schwarzer, Mata.

PICHA NA: AP, GETTY IMAGES

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages