DIAMOND AMKABIDHI GARI MUHIDIN GURUMO, NI KATIKA HAFLA YA UZINDUZI WA VIDEO YAKE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

DIAMOND AMKABIDHI GARI MUHIDIN GURUMO, NI KATIKA HAFLA YA UZINDUZI WA VIDEO YAKE

.com/blogger_img_proxy/Mwanamuziki Diamond Platnum akimkabidhi funguo ya gari aina ya Toyota Funcargo mwanamuziki mkongwe nchini mzee Muhidin Gurumo kama zawadi yake kwa mkongwe huyo wa muziki baada ya kustaafu rasmi kuimba muziki, Diamond alitoa zawadi hiyo kwa Gurumo katika hafla yake ya uzinduzi wa video yake mpya ya wimbo Nomber One aliyoirekodi huko Afrika Kusini ikigharimu kiasi cha dola elfu 30.000 zaidi ya milioni arobaini za Tanzania, Video hiyo imetengenezwa kwa viwango vya kimataifa na itaweza kumtangaza vyema kijana huyo wa kitanzania katika ulimwengu wa muziki hasa kimataifa, Hafla hiyo imefanyika kwenye hoteli ya Serena Dar es salaam na imehudhuriwa na wasanii pamoja na waigizaji wa filamu na watu maarufu mbalimbali  .com/blogger_img_proxy/Mzee  Muhidin Gurumo akimshukuru Diamond kwa kumzawadia gari jambo ambalo kwake ni kama ndoto kwakuwa amestaafu akiwa hana usafiri “Yaani sijui hata mke wangu nikimwambia atanielewaje manake ni jambo la kushangaza kwangu” Alisema mzee Gurumo .com/blogger_img_proxy/Diamond akimuongoza mzee Gurumo kwenda kumuonyesha gari .com/blogger_img_proxy/Diamond akimuonyesha Mzee Gurumo gari .com/blogger_img_proxy/Akimuelekeza jambo baada ya mzee Gurumo kuingia kwenye gari .com/blogger_img_proxy/ 
Diamond akizungumza machache kushukuru mashabiki wake na watu mbalimbali waliomsaidia kufikia hapo alipo .com/blogger_img_proxy/Diamond na madansa wake wakitumbuiza katika hafla hiyo .com/blogger_img_proxy/Wasanii mbalimbali pamoja na MaDJ walikuwepo katika hafla hiyo hapa ni Dully Sykes na MawanaFA wakiwa na baadhi ya MaDJ .com/blogger_img_proxy/Maurice Njowoka kutoka Cocacola wa pili kutoka kushoto na Mwanamuziki AY wa tatu kutoka kushoto pamoja na wadau wengine wakiwa katika hafla hiyo .com/blogger_img_proxy/ 
Mwigizaji Jaquiline Wolper naye alitia timu  .com/blogger_img_proxy/Mkurugenzi wa ASET Asha Baraka akiwa na mama yake Diamond .com/blogger_img_proxy/Wadau mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo .com/blogger_img_proxy/ .com/blogger_img_proxy/Mzee Gurumo akihojiwa na waandishi wa habari .com/blogger_img_proxy/Hawa marafiki zangu wakakumbushia miaka kadhaa waliyofunga ndoa kwa kulishana mishikaki ilipendeza katikati ni Nancy Sumari akishuhudia .com/blogger_img_proxy/Kulia ni Irene Uwoya kushoto Salma Msangi  .com/blogger_img_proxy/Kushoto AY na Salama Jabir wakipiga story na wadau mbalimbali .com/blogger_img_proxy/ .com/blogger_img_proxy/Kutoka kulia ni Raymond Kigosi, Irene Uwoya na JB wakiwa katika hafla hiyo.Picha Na Fullshangwe Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages