CHELSEA YAWATUMBUA 2-0 HULL CITY, MOURINHO ATAMBA SANA, TOTTENHAM YAILAZA CRYSTAL PALACE 1-0 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

CHELSEA YAWATUMBUA 2-0 HULL CITY, MOURINHO ATAMBA SANA, TOTTENHAM YAILAZA CRYSTAL PALACE 1-0

He's back: Jose Mourinho blows kisses to the Stamford Bridge crowd on his returnKarudi: Jose Mourinho akionesha ishara ya busu kwa mashabiki wa Chelsea waliofurika  Stamford Bridge 
Comfortable: Oscar set Chelsea going in the 13th minute and there was no way back for Hull from thereRaha tupu: Oscar alifunga bao la kwanza katika dakika ya 13
Kikosi cha Chelsea leo: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Lampard, Ramires, De Bruyne (Schurrle 67), Oscar (van Ginkel 85), Hazard, Torres (Lukaku 75)
Subs not used: Essien, Mata, Ba, Schwarzer
Goals: Oscar 13, Lampard 25
Kikosi cha Hull City: McGregor, Elmohamady, Chester, Davies, Figueroa, Brady, Meyler (Huddlestone 59), Koren, Sagbo, Graham (Livermore 59), Aluko (Boyd 79)
wachezaji wa akiba: Rosenior, Bruce, McShane, Harper
Kadi: Meyler
Mashabiki: 41,374
mwamuzi: Jon Moss
Easy does it: Oscar celebrates scoring the opening goal 
Oscar akishangilia bao lake
Missed: Frank Lampard saw his penalty saved by McGregor 
Amekosa:  Frank Lampard akiangalia jinsi mkwaju wake ulivyookolewa na kipa McGregor
Mechi nyingine iliwakutanisha 

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
KOCHA wa Chelsea , Mreno, Jose Mourinho ameanza kwa kishindo  Stamford Bridge  tangu arejea kwa mara ya pili baaada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu mpya ya ligi kuu soka nchini England,  Hull City.

Ikiwa imepita takribani miaka sita tangu aondoke darajani na kurejea majira haya ya kiangazi, leo hii Mourinho alianza kibarua katika dimba la nyumbani na kushangiliwa na mashabiki lukuki wanaomuunga mkono kwa asilimia mia moja.

Katika mchezo huo, kiungo mkongwe wa Chelsea,  Frank Lampard alikosa mkwaju wa penati  dakika ya sita baada ya kipa wa Hull,  Allan McGregor kuokoa na baada ya hapo kipa huyo aliokoa tena mpira wa kichwa uliozamishwa na  Branislav Ivanovic , lakini teknolojia ya goli iligoma na kuwaambia Chelsea sio goli.

Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Oscar katika dakika ya 13 akipokea pasi ya mwisho kutoka kwa Kevin de Bruyne, na bao la pili limefungwa na Frank Lampard dakika ya 25 na kufuta makosa ya kukosa penati.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages