Baada
Waziri wa Ujenzi, Pombe Magufuli kutoa maagizo kwa wenye majengo yaliyo
pembezoni mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi, kubomoa wenyewe majengo
yao ili kupisha upanuzi wa barabara hiyo, kuonekana yakisua sua,
hatimaye leo ameanza rasmi kazi ya kubomoa kwa Greda katika majengo ya
wale walioonekana kukaidi agizo hilo. Katika kutekeleza agizo hilo zoezi
hilo limeanzia kwenye Jengo la Business Park (Green Acres) lililopo
eneo la Victoria ambapo hadi hivi sasa zoezi hilo bado linaendelea pande
hizo chini ya usimamizi ya Askari wakishirikiana na Watu wanaoonekna
kuwa ni wa Majembe.
Msongamano pande hizo.....
Tayari
ukuta ukiwa umeshashushwa chini wa upande wa barabarani. huku baadhi ya
watu wanaofanya shughuli zao katika jengo hilo wakihaha kuhamisha
baadhi ya vifaa.
Wakati likianza zoezi hilo ndani walikuwapo watu wanaoendesha shughuli zao katika jengo hilo.Kwa Picha Zaidi na Chanzo BOFYA HAPA
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
JUST IN: MAGUFULI SASA AANZA KUTEKELEZA AHADI YA KUBOMOA MAJENGO: AANZA NA JENGO LA BUSINES PARK (GREEN ACRES) LA VICTORIA
JUST IN: MAGUFULI SASA AANZA KUTEKELEZA AHADI YA KUBOMOA MAJENGO: AANZA NA JENGO LA BUSINES PARK (GREEN ACRES) LA VICTORIA
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)