HATIMAYE SWANSEA CITY YAKAMILISHA USAJILI WA JONJO SHELVEY - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

HATIMAYE SWANSEA CITY YAKAMILISHA USAJILI WA JONJO SHELVEY

Kiungo Mpya wa timu ya Swansea City ya Uingereza Jonjo Shelvey

Hatimaye klabu ya Swansea City imekamilisha zoezi la Kumsajili kiungo wa zamani wa liverpool Jonjo Shelvey kwa dau la Pauni Milioni 5. Jonjo Shelvey amesajiliwa na timu ya swansea akitokea timu ya liverpool.

Kinda huyo mpya wa Swansea Mwenye umri wa Miaka 21 ameweka saini yake na kukubali kufunga ndoa ya miaka minne baada ya kukubali masharti yake binafsi na kufuzu kwa vipimo vya afya na hatimaye atakuwa kwenye dimba la libert kwa miaka minne.

Safari ya Jonjo katika Soka ilianza pale alipokuwa akiichezea timu ya Charlton kabla hajaamia liverpool kwa dau la Pauni Milioni 1.7 mnamo mwaka 2010.

Baada ya kumaliza kutia saini katika mkataba wake wa miaka minne na timu ya Swansea Jonjo Shelvey aliandika katika Ukurasa wake wa twitter kuwa "napenda kuwashukuru kila mmoja na mashabiki wote wa liverpool kwa msaada wake na pia nitawamiss kweli hakika hii ni daraja la kwanza"

"Nitakumbuka sana Jiji pamoja na klabu.Hallaa kwa kila mmoja hapa, Asante sana. Huu ni muda sasa wakuanza ukurasa mpya katika maisha yangu ya Wales. Asante"

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages