NMB YAENDELEA KUWAHUDUMIA WATEJA WAKE KWA USTADI WA HALI YA JUU. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NMB YAENDELEA KUWAHUDUMIA WATEJA WAKE KWA USTADI WA HALI YA JUU.

 Afisa wa Benki ya NMB tawi la Ilala Bw Cuthbert Zimbwe akimuhudumia mmoja wa wateja wa NMB waliofika katika tawi hilo kwaajili ya Kupata huduma za Kibenki. NMB imeendelea kuwahudumia Wateja wake
Afisa wa Benki ya NMB  tawi la ilala Cuthbert Zimbwe akiwa na furaha ya kuwahudumia wateja Waliofika na watakaofika tawini hapo kwaajili ya kujipatia huduma mbalimbali za kibenki. Sasa mteja wa Benki ya NMB anaweza kupata Huduma za Kibenki kupitia Simu yake ya Mkononi bila yeye kufika kwenye Matawi ya NMB. JISEVIE Ni huduma ambayo mteja wa NMB anatakiwa kujiunga na Huduma ya NMB Mobile kwaajili ya kuweza kupata huduma za kibenki kupitia Simu yake ya mkononi.

NMB ni Benki ambayo inaongoza kuwa na mashine zaidi ya 500 za kutolea Pesa Nchini Nzima na Ni benki inayoongoza Kuwa na Matawi Mengi zaidi ya 150 Nchini Nzima. NMB Benki yako, Popote ulipo tumekufikia

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages