Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia waumini wa Dini ya Kikristo wakati wa ghafla ya kuwekwa wakfu
Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria
Mchungaji Emmanuel Joseph Makala na kuzinduliwa kwa Dayosisi hiyo mpya
ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria iliyofanyika jana katika kanisa la
Ebeneza Shinyanga mjini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpongeza Askofu mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria Mchungaji Emannuel Joseph Makala, baada ya kuwekwa wakfu na kuzinduliwa kwa Dayosisi hiyo katika Kanisa la Ebeneza Shinyanga mjini jana Mei 5, 2013. Katikati ni Askofu Mkuu KKKT Tanzania, Dkt Alex Malasusa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baadhi ya viongozi wakati wa ibada maalum ya kuwekwa Wakfu Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria na kuzinduliwa rasmi Dayosisi hiyo katika kanisa la Ebeneza Shinyanga mjini.
Maaskofu waliosheresha wakfu huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na familia ya Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria Mchungaji Emmanuel Joseph Makala, baada ya kuwekwa wakfu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu wa KKKT Tanzania baada ya kuwekwa Wakfu Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria na kuzinduliwa rasmi Dayosisi hiyo katika kanisa la Ebeneza Shinyanga mjini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpongeza Askofu mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria Mchungaji Emannuel Joseph Makala, baada ya kuwekwa wakfu na kuzinduliwa kwa Dayosisi hiyo katika Kanisa la Ebeneza Shinyanga mjini jana Mei 5, 2013. Katikati ni Askofu Mkuu KKKT Tanzania, Dkt Alex Malasusa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baadhi ya viongozi wakati wa ibada maalum ya kuwekwa Wakfu Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria na kuzinduliwa rasmi Dayosisi hiyo katika kanisa la Ebeneza Shinyanga mjini.
Maaskofu waliosheresha wakfu huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na familia ya Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Viktoria Mchungaji Emmanuel Joseph Makala, baada ya kuwekwa wakfu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu wa KKKT Tanzania baada ya kuwekwa Wakfu Askofu mpya wa KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria na kuzinduliwa rasmi Dayosisi hiyo katika kanisa la Ebeneza Shinyanga mjini.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)