Mahakama ya Rufaa imemrejeshea ubunge mbunge wa Sumbawanga Aesh Hilal
leo ambaye alivuliwa ubunge mara baada ya aliyekuwa mgombea ubunge kupitia chadema Norbert Yamsebo kuweka Pingamizi.Awali mahakama kuu ilikuwa imemvua ubunge lakini akakata Rufaa.
Mahakama kuu ilikuwa imekubaliana na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA Mwl Norbert Yamsebo aliyekuwa amefungua kesi kupinga ushindi wa Hilal.
Mahakama kuu ilikuwa imekubaliana na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA Mwl Norbert Yamsebo aliyekuwa amefungua kesi kupinga ushindi wa Hilal.
Endelea Kuwa Nasi na Tutazidi kuwajuza kadri habari zinavyotufikia
Stay tuned @ Lukaza Blog
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)