Kutoka Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Kutoka Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Wawi,Hamad Rashid kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma May 6,2013
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mbunge wa Wawi Hamad Rashid (kulia) wakiteta na Mbunge wa Viti Maalum Riziki Lulida kwenye viwanja vya Bunge Mji Dodoma,, May 6,2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages