BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 KWA WAHANGA WA BOMU ARUSHA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 KWA WAHANGA WA BOMU ARUSHA


nt
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. Milioni 10 kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara za Serikali NMB, Domina Feruzi kwa ajili ya wahanga wa bomu lililotokea hivi karibuni katika Kanisa la Mtakatifu Joseph ikiwa ni msaada wa benki ya NMB.
nt2
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimshukuru Meneja Mwandamizi wa Masoko na Chapa NMB Rahma Mwapachu baada ya kupokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. Milioni 10 kutoka NMB kama msaada kwa wahanga wa bomu Arusha.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages