TIMU YA MPIRA YA BLOGGERS YAKABIDHIWA JEZI NA HOTEL YA SAPPHIRE COURT HOTEL KWAAJILI YA USHIRIKI WA BONANZA LA MEDIA DAY LITAKALOFANYIKA KESHO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TIMU YA MPIRA YA BLOGGERS YAKABIDHIWA JEZI NA HOTEL YA SAPPHIRE COURT HOTEL KWAAJILI YA USHIRIKI WA BONANZA LA MEDIA DAY LITAKALOFANYIKA KESHO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS

 Nahodha wa timu ya Bloggers FC (wamiliki wa mitandao ya kijamii ya blog), Muhidin Sufian (kushoto) akipokea jezi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Sapphire Hotel, Abdulfatah Salim ambazo zitavaliwa kesho katika bonanza la MEDIA DAY llitakalofanyika katika viwanja vya leaders kuanzia Mida ya Asubuhi.Katikati ni Meneja wa Timu hiyo, Mroki Mroki ‘Father Kidevu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages