Tamasha la Exel with Grand Malt lazinduliwa jijini Dar - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tamasha la Exel with Grand Malt lazinduliwa jijini Dar


Meneja masoko wa kampuni ya bia Tanzania (TBL), Fimbo Buttala akizungumza na  wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha la uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha Grand Malt ya kuwashindanisha  wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja  fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo  lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam  jana.
Mratibu wa tamasha la Exel With Grand Malt,Victor Ndunguru akiongoza ujumbe wa  kukagua timu za mpira wa miguu za Chuo kikuu DUCE na chuo kikuu cha Dar  es salaam kwenye bonanza hilo lililoshirikisha wanafunzi wa vyuo  mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha ka uzinduzi wa  kampeni ya kinywaji cha Grand Malt ya kuwashindanisha wanafundi ili
kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu  ijulikanayo kama Exel with Grand Malt,Timu ya chuo kikuu Dar Es Salaam
ilishinda kwa 3-1 tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo  kikuu Arthi mkoani Dar es salaam
Msanii wa musiki wa kizazi kipya nchini Joh Makini akiwapagawisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha ka uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha grandmalt ya kuwashindanisha wanafundi ili  kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu  ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika  viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages