Sherehe ya Mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sherehe ya Mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI)

Maandamano mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP
Maandamano ya mahafali
Mwenyekiti wa Bodi ya GTI, Marry Rusimbi (aliyesimama) akihutubia
Baadhi ya wahadhiri wa chuo cha mafunzo ya Jinsia GTI wakiwa kwenye mahafali
Bendi ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwajibika katika mahafali hayo
Maandamano ya mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP
Mgeni rasmi, John Mnyika akizungumza
Mmoja wa wahitimu wakitunukiwa cheti cha mafunzo ya GTI na mgeni rasmi, John Mnyika
Baadhi ya wahadhiri wa chuo cha mafunzo ya Jinsia GTI wakiwa kwenye mahafali
Bendi ya Polisi ikiwajibika
Baadhi ya wafanyakazi wa TGNP wakiwa katika mahafali
Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Jinsia, Dk. Diana Mwiru (kulia) akihutubia katika hafla hiyo
matukio ya sherehe za mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Jinsia (GTI), zilizofanyika leo mchana katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Mabibo, jijini Dar es Salaam. Chuo cah Mafunzo ya Jinsia (GTI) leo kimetoa wahitimu wa kwanza wa mafunzo ya jinsia katika ngazi ya cheti. Mgeni rasmi katika mahafali hayo ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia tiketi ya CHADEMA, John Mnyika.
Picha za pamoja

Matukio ya sherehe za mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Jinsia (GTI), zilizofanyika leo mchana katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Mabibo, jijini Dar es Salaam. Chuo cah Mafunzo ya Jinsia (GTI) leo kimetoa wahitimu wa kwanza wa mafunzo ya jinsia katika ngazi ya cheti. Mgeni rasmi katika mahafali hayo ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia tiketi ya CHADEMA, John Mnyika. Picha zote zimeandaliwa na mtandao wa www.thehabari.com.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages