Matukio ya sherehe za mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Jinsia (GTI),
zilizofanyika leo mchana katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania
(TGNP) Mabibo, jijini Dar es Salaam. Chuo cah Mafunzo ya Jinsia (GTI)
leo kimetoa wahitimu wa kwanza wa mafunzo ya jinsia katika ngazi ya
cheti. Mgeni rasmi katika mahafali hayo ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo
kupitia tiketi ya CHADEMA, John Mnyika. Picha zote zimeandaliwa na
mtandao wa www.thehabari.com.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Sherehe ya Mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI)
Sherehe ya Mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI)
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)