MWISHO WA KUBADILI LESENI ZA ZAMANI ZA UDEREVA NI APRILI 30,2013 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MWISHO WA KUBADILI LESENI ZA ZAMANI ZA UDEREVA NI APRILI 30,2013


Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. Mpinga (kushoto) na Mr. Salum Yusuph - Naibu Kamishna wa Kodi za ndani TRA (kulia) wakisikiliza maswali mbalimbali kutoka kwa waandishi wa habari (pichani hawapo) kuhusu mwisho wa kubadili leseni za zamani za udereva utakao kuwa mwisho wa mwezi huu 30/04/2013.
Mr. Salum Yusuph - Naibu Kamishna wa Kodi za Ndani TRA (kulia), akijibu moja ya swali lililoulizwa na waandishi wa habari katika mkutano ulifanyika Katika ukumbi wa mikutano wa TRA Makao Makuu Tarehe 10/04/2013.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages