MPAMBANO WA NGUMI KATI YA ISSA OMAR NA SHABAN MADILUU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MPAMBANO WA NGUMI KATI YA ISSA OMAR NA SHABAN MADILUU

Bondia Issa Omar na Shaban Madiluu leo mchana wamemaliza masuala yao yote yanayohusiana na mpambano wao wa ubingwa wa UBO na sio tena ubingwa wa taifa kama ilivyoripotiwa awali kwa kuwekana sawa na muandaaji wa pambano hilo Ibrahim kamwe"bigright" .

na  kwa upande wa mabondia wenyewe wamejinadi  ya kuwa wamejiandaa vema kwa mazoezi mazuri ya muda mrefu wa maandalizi ya pambano hili,(imewachukua zaidi ya miezi mitatu kujiandaa) hivyo mchezo utakuwa mzuri na maajabu yanaweza tokea kwa mtu kupata kipigo cha mbwa mwizi!
Pambano hilo lililoandaliwa na Bigright Promotion na litasimamiwa na PST chini ya rais wake ndg Emmanuel mlundwa kwa dhamana ya UBO akiwa kama mwakilishi wa Afrika mashariki

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages