Ziara
hii imekuja wakati kikao cha Bodi ya Barabara Mkoani Mwanza kilipokuwa
kimeketi na kukaa na wadau wa Wizara ya Ujenzi pamoja na wakala wa
ujenzi wa barabara mbalimbali mkoani Mwanza na kikao hicho kukwepa
shauri la Mbunge wa ilemela la kuishauri kamati hiyo kufanya upya
uthamini wa barabara hiyo kabla ya kukabidhiwa halmashauri.
Kutitia kwa tabaka la lami kumeonekana kwenye maeneo mbalimbali ya barabara hiyo na huu ni moja kati ya mifano ya kuonekana. Msikie Mh. Mbunge akimzungumzia mkandarasi. soma zaidi kupitia www.gsengo.blogspot.com |
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)