Kassian Ernest na Sabina Alexander wang'aa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Kassian Ernest na Sabina Alexander wang'aa



Wadau Kassian  Ernest  na Sabina Alexander  wakifurahia baada ya kumeremeta katika Ibada ya misa takatifu ya  ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Chang,ombe jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na mnuso wa nguvu  iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini . Bwana Harusi ni mwajiriwa katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo na Bi Harusi ni  mwajiriwa  katika Chuo cha Elimu ya Biashara CBE.
 Mdau Kassian  Ernest akimvisha pete mai waifu wake Sabina Alexander
 Maharusi katika mnuso
Pozi la nguvu la kumeremeta

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages