Timu nzima ya kampeni ya Tupo Pamoja wakigongesha chupa zao za bia ya Serengeti kuonesha upendo na kutakiana amani katika mafanikio, sasa tupo pamoja maskani kwako
Washereheshaji wa kampeni ya Tupo Pamoja wakiwatambulisha mabalozi wa bia ya Serengeti
Vijana wa kukimbiza mchakamchaka wa kampeni ya Tupo Pamoja wakifanya vitu vyao jukwaani.
Mmoja wa wanenguaji akionyesha ujuzi wake katika kudansi.
Mchakamchaka ulikua namna hii ndani ya Play Time Bar jijini Dar es Salaam
Hii ndiyo Serengeti Premium Lager!











No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)