VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WALINZI BINAFSI NCHINI (TUPSE) WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WALINZI BINAFSI NCHINI (TUPSE) WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI


 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto)  akizungumza na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya chama hicho na wizara yake. Kulia ni Katibu wa Kanda ya Dar es Salaam, Etimas Msamba, Katibu Msaidizi, Oscar Muyeya na Kaimu Katibu Mkuu, Agustino Rupia.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake  jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages