UPDATE KUTOKA MOI: MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI HALI BADO SIO NZURI NA ANATARIJIWA KUSAFIRISHWA KWAAJILI YA MATIBABU ZAIDI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

UPDATE KUTOKA MOI: MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI HALI BADO SIO NZURI NA ANATARIJIWA KUSAFIRISHWA KWAAJILI YA MATIBABU ZAIDI

MUENDELEZO WA HABARI YA KUVAMIWA NA KUPIGWA KWA MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI:Taarifa tulizozipata toka kwa Mwandishi wetu aliyepo Taasisi ya Mifupa MOI ,hali ya Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri ABSALOM KIBANDA bado si nzuri na kwamba Jukwaa la wahariri linafanya utaratibu wa kumpeleka nje ya nchi kwa matibabu zaidi

Tutaendelea Kujuzana Kadri Taarifa tunapozipata...
Source: ITV

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages