Airtel yaongeza MPUNGA -Amka Milionea - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Airtel yaongeza MPUNGA -Amka Milionea

·         Airtel "AMKA MILIONEA" zaongeza zaidi ya Milion 270
·         Kwa siku 60  zaidi ya wateja 580  wa Airtel kuibuka na Mamilioni hayo
·         Tuma shinda kwenda 15595 ili kujiweka kwenye ushindi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imeongeza muda wa promoshei yake kabambe ya AMKA MILIONEA pamoja na sambamba na kuongeza kiasi kikubwa cha MPUNGA ili wateja wake kuendelea kujizolea mamilioni zaidi

Meneja Uhusiano wa Airtel ametuhabarisha kuwa promosheni hiyo iliyodumu kwa siku 90 hapo awali na kufanikiwa kuzawadia  zaidi ya milioni 400 kwa wateja wameamua kuiendeleza ili wateja waendelee kufaidi zaidi

“promosheni inaendelea sasa! Kila mteja wa Airtel anaweza akashiriki kwa kutuma neno MILIONEA au SHINDA kwenda 15595 na ataunganishwa bure

Zawadi zimeongezeka kila siku kutakuwa na washindi 10 watakaojishindia mamilioni kama kawa!!!

AMKA MILIONEA itahakikisha kila siku kunawashindi 10 kushinda kila siku na watagawana jumla ya shilingi  3,000.000, kila wiki jumla ya shilingi milioni 6,000,000 zitashindaniwa na washindi 10 na kila  mwisho wa mwezi  mshindi wawili watashindania na kugawana kitita cha shilingi milioni 30 wakati milioni  50, 0000Tshs itaenda kwa mshindi mmoja mwisho wa promosheni hii.
mwisho

Taarifa zaidi kwa mshiriki
Vigezo Muhimu
Mshiriki mmoja hawezi kushinda zaidi ya 1 ya kwa zawad ya kila siku .
Mshiriki mmoja hawezi kushinda zaidi ya 1 yakwa zawadi ya kila wiki Mshiriki mmoja hawezi kushinda zaidi ya 1 zawadi ya kila mwezi.
Mshiriki mmoja unaweza kushinda mara moja zawadi ya kila siku, mara moja zawadi ya kila wiki  na mara 1 zawadi ya kila mwezi. Lakini pia anaweza akajishindia zawadi kubwa ya mwisho wa promosheni

Kujiunga
Tuma neno "WIN / Shinda", kwenda namba 15595 ( bure), na kisha utapokea ujumbe wa ukaribisho utakaombatana na maswali utakayojibu.
Kila jibu sahihi mteja atapata pointi/alama 20 na akikosea atapata pointi 10 zitakazomuwezesha kushinda, ukijibu maswali mengi unajiongezea nafasi ya ushindi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages