MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA DIAMOND AFANYA KWELI NDANI YA UKUMBI WA SAFARI JIJINI ARUSHA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA DIAMOND AFANYA KWELI NDANI YA UKUMBI WA SAFARI JIJINI ARUSHA

 Msanii wa kizazi kipya ajulikanaye kwa jina la Nasib Abudul(diamond Platinum)akiwapa burudani wa kazi wa jiji la Arusha katika shoo yake iliodhaminiwa na kituo cha radio 5 ndani ya  klabu ya safari iliopo ndani ya ukumbi wa jengo la sundown cornival lililopo nje kidogo ya jiji la Arusha
warembo wakichat wakati burudani ikiendelea
 wadada nao wanajua kutunza uyu mdada yeye alipenda wimbo wa kizai zai wa diamond akaamua kwenda kumtunza kabisa

 Msanii diamond akiwapagawisha mashabiki wa Arusha waliouthuria katika show
Mashabiki wa diamond wakitamani kupigwa ata Kiss na msanii huyo 
 Ma dance wanaotikisa Tanzania kutoka Arusha Contegeous waliokuwepo katika show hiyo wakiburudisha
 Baadhi ya wadada waliokuja kutazama show wakimfurahia msanii daimond
 Wakwanza kutoka kulia ni mkurugenzi wa mwandago investiment akifuatiwa na meneja masoko wa K-vant Gin Godluck kwayu,meneja wa sigara kanda ya kaskazini jina halijaweza fahamika mara moja akifuatiwa na meneja wa TBL nao waliudhuria katika show ya diamond platinum


Diamond Akicheza na mshabiki wake baada ya kushuka stage
 Hili ni jiko la kisasa la kuchoma nyama lililopo ndani ya hotel ya sundown conival
 picha juu na  chini ni warembo wa  kituo cha radio 5 ambao ndio wathamini wa kuu wa show hiyo ya diamond plaatinum

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages