MONTAGE CHARITY BALL YAENDELEA KUFANYA VIZURI USIKU HUU NDANI YA HOTELI YA SERENA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MONTAGE CHARITY BALL YAENDELEA KUFANYA VIZURI USIKU HUU NDANI YA HOTELI YA SERENA

 Mkurugenzi Wa Kampuni ya Montage Bi Teddy Mapunda akifungua tafrija ya Kuchangisha Pesa kwaajili ya Wanawake wenye matatizo kwa Kumkaribisha Mgeni Rasmi ambaye pia Ni Mwenyekiti wa WAMA na Mke wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete katika hafla inayofanyika Usiku huu katika Hoteli ya Serena
 Mwenyekiti wa WAMA na Mke Wa Raisi Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete akitoa neno wakati alipokaribishwa kusema chochote kama mgeni rasmi katika hafla ya kuchangisha pesa kwaajili ya wanawake Tanzania iliyoandaliwa na kampuni ya Montage Limited inayofanyika Usiku Huu katika Hoteli ya Serena
 Baadhi ya Wahudhuriaji wa Hafla hiyo
Msanii Kutoka Nchini Tanzania Barnaba akitumbuiza katika hafla ya kuchangisha pesa kwaajili ya wanawake Tanzania hafla inayoendelea kufanyika katika Hoteli ya Serena Usiku Huu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages