![]() |
| Balozi wa Urusi hapa nchini Mheshimiwa Alexander Rannikh akiambatana na kiongozi wa wanajeshi waliofatana na meli hiyo Rear Admiral Vdovenko |
![]() |
Kwa pamoja, Balozi Rannikh na wanajeshi wa Kirusi waliimba wimbo wao wataifa wakiwa katika meli.
|
![]() |
| Balozi Rannikh akiwapongeza wanajeshi wake kwa kufika Dar es Salaam, Tanzania na kuwakaribisha nchini pia. |
![]() |
| Baada ya salamu hizo, Balozi Rannikh nae alikaribishwa keki na mmvinyo iliyoandaliwa na wanajeshi katika meli. |
![]() |
| Balozi wa Urusi hapa nchini Mheshimiwa Alexander Rannikh akipokea salamu kutoka kwa kiongozi mkuu Rear Admiral Vladimir Vdovenko wakati alipotembelea meli hiyo bandarini. |
Wanajeshi wa Kirusi wakionesha umahili wao wa ukakamavu












No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)